Posts

TYMMOH DAIMER AZIDI KUA GUMZO

Image
TYMMOH DAIMER  ni  nani  ???? Hayo  ndio  maswali  kila  panda shuka  huku pwani ,Je ! ni  msanii  tu  kama  watu  wanavyodhani  ama   ni nani  ......Tunachojua  mziki  wake  na ladha  yake yakipekee  kwa kubadilika  kwa mitindo  ndio  kumempa  upekeee  katika sanaa  kubwa  alio nayo   ijapokua  uwekezaji  wake  ni mdogo  kwani  ni msanii anaejitegemea   licha  ya umri  wake mdogo katika game.. anazidi  kuwafukuza wasanii  wakubwa       wengi  wakibana  kwa  hofu ya soko  ila  dogo  yuko  motoo  na kwasasa  anasifika  kwa kibao chake kwa jina  RAH

BEKA RUGA FROM KWALE COUNTY

Image
Mchekeshaji  na Ticktocker  mkali  tokea   pwani (kwale county)  kwa  jina  BEKA, anazidi  kuvunja  myamba  ya  mbavu  za  mashabiki  zake  na  kueka  alama   kubwa   kwenye tasnia  ya  ucheshi . Beka anatajwa  kama  kijana  mwenye  ushawishi   kutokana  na umati unao mtazama  kwa  vituko pia  na mafunzo yakuonyesha  kua  yote  yanawezekana

REYVANNY AMPA KIBA MAUA YAKE

Image
Msanii  Ryvanny kutoke Next  level music  akiwa kama raisi wa lebo iyo  , hivi maajuzi  ametoa album yake  na katika nyimbo zake  moja  amefanya na  mwamba Alikiba . Sasa kubwa ni kamposti  alikiba  kisha  akaeka alama ya  king au taji,  hii imeleta utamu kwenye game la bongo

TYMMOH DAIMER ::ATOBOA SIRI NZITO ZA WAZAZI WA PWANI

Image
Msanii kutokea  kwale    alijibu  maneno  haya   baada yakuulizwa  amejifunza  nini   mwaka jana : wapo Watu  wakaribu  sana ambao wanakukosea wewe,lakini baada ya kukukosea wewe,  Wanajiweka kwenye nafasi ya wahanga,kana kwamba wewe ndio umewakosea ili kujitoa kwenye nafasi ya kukuomba msamaha, Hawa ni watu ambao wanatumia NYOTA  yako nguvu zako,muda wako,rasilimali zako na  kukufungia  riziki  zako  ili uwafate kwa usaidizi   ionekane  kuwa  unawategemea   na   ukweli nikua  hakuna    fadhila wala  usaidizi  unaopata  nia  nikukutumia    baraka zako na nyota yako  ... Lakini haitoshi kwa UPUMBAVU wako kisaikolojia umetekwa,hauishi kwenye ulimwengu wako,Bali wamekupangishia makazi kwenye mioyo yao...hauko huru  Yaani unakosewa wewe na bado wa kuomba msamaha niwewe, niwatu  wanaotaka...