TYMMOH DAIMER ::ATOBOA SIRI NZITO ZA WAZAZI WA PWANI

Msanii kutokea  kwale    alijibu  maneno  haya   baada yakuulizwa  amejifunza  nini   mwaka jana

: wapo Watu  wakaribu  sana ambao wanakukosea wewe,lakini baada ya kukukosea wewe,
 Wanajiweka kwenye nafasi ya wahanga,kana kwamba wewe ndio umewakosea ili kujitoa kwenye nafasi ya kukuomba msamaha,
Hawa ni watu ambao wanatumia NYOTA  yako nguvu zako,muda wako,rasilimali zako na  kukufungia  riziki  zako  ili uwafate kwa usaidizi   ionekane  kuwa  unawategemea   na   ukweli nikua  hakuna    fadhila wala  usaidizi  unaopata  nia  nikukutumia    baraka zako na nyota yako  ...
Lakini haitoshi kwa UPUMBAVU wako kisaikolojia umetekwa,hauishi kwenye ulimwengu wako,Bali wamekupangishia makazi kwenye mioyo yao...hauko huru 
Yaani unakosewa wewe na bado wa kuomba msamaha niwewe, niwatu  wanaotaka chako   kwa  nguvu ikibidi   kukueka  kwenye  magereza  yao  kishirikina  sana  sana  wazazi  wengi  wapwani


Comments

Popular posts from this blog

TYMMOH DAIMER na mziki tofauti kwale (002). Sio siri tena tukisema msanii mbunifu na anaekuja kwa kasi yakipekee katika ukanda wapwani , Si mwingine bali ni Tymmoh daimer. Kwasasa ameachia mziki tofauti na miziki ilio zoeleka uswahilini ,kitu ambacho kinasimamisha bongo za wanao msikiza .mziki wenye ubunifu na vibe la kimarekani . kwamaelezo yake anasema yeye anaangalia generation yake na anajua Genz wanaelewa anachokiimba na ni usasa zaidi , ameongeza kua amejaribu kuleta mziki wamajuu mashinani ili kutoa ulemavu wafikra funge, anasema watu waupate mziki mnene kwa mitandao ...youtube,audiomack na zingine pendwa. # Hebu tumcheki mwana

wasanii wanaopambana kwale