TYMMOH DAIMER na mziki tofauti kwale (002). Sio siri tena tukisema msanii mbunifu na anaekuja kwa kasi yakipekee katika ukanda wapwani , Si mwingine bali ni Tymmoh daimer. Kwasasa ameachia mziki tofauti na miziki ilio zoeleka uswahilini ,kitu ambacho kinasimamisha bongo za wanao msikiza .mziki wenye ubunifu na vibe la kimarekani . kwamaelezo yake anasema yeye anaangalia generation yake na anajua Genz wanaelewa anachokiimba na ni usasa zaidi , ameongeza kua amejaribu kuleta mziki wamajuu mashinani ili kutoa ulemavu wafikra funge, anasema watu waupate mziki mnene kwa mitandao ...youtube,audiomack na zingine pendwa. # Hebu tumcheki mwana

Comments

Popular posts from this blog

wasanii wanaopambana kwale