BEKA RUGA FROM KWALE COUNTY

Mchekeshaji  na Ticktocker  mkali  tokea   pwani (kwale county)  kwa  jina  BEKA, anazidi  kuvunja  myamba  ya  mbavu  za  mashabiki  zake  na  kueka  alama   kubwa   kwenye tasnia  ya  ucheshi . Beka anatajwa  kama  kijana  mwenye  ushawishi   kutokana  na umati unao mtazama  kwa  vituko pia  na mafunzo yakuonyesha  kua  yote  yanawezekana

Comments

Popular posts from this blog

TYMMOH DAIMER na mziki tofauti kwale (002). Sio siri tena tukisema msanii mbunifu na anaekuja kwa kasi yakipekee katika ukanda wapwani , Si mwingine bali ni Tymmoh daimer. Kwasasa ameachia mziki tofauti na miziki ilio zoeleka uswahilini ,kitu ambacho kinasimamisha bongo za wanao msikiza .mziki wenye ubunifu na vibe la kimarekani . kwamaelezo yake anasema yeye anaangalia generation yake na anajua Genz wanaelewa anachokiimba na ni usasa zaidi , ameongeza kua amejaribu kuleta mziki wamajuu mashinani ili kutoa ulemavu wafikra funge, anasema watu waupate mziki mnene kwa mitandao ...youtube,audiomack na zingine pendwa. # Hebu tumcheki mwana

wasanii wanaopambana kwale