REYVANNY AMPA KIBA MAUA YAKE

Msanii  Ryvanny kutoke Next  level music  akiwa kama raisi wa lebo iyo  , hivi maajuzi  ametoa album yake  na katika nyimbo zake  moja  amefanya na  mwamba Alikiba . Sasa kubwa ni kamposti  alikiba  kisha  akaeka alama ya  king au taji,  hii imeleta utamu kwenye game la bongo

Comments

Popular posts from this blog

TYMMOH DAIMER na mziki tofauti kwale (002). Sio siri tena tukisema msanii mbunifu na anaekuja kwa kasi yakipekee katika ukanda wapwani , Si mwingine bali ni Tymmoh daimer. Kwasasa ameachia mziki tofauti na miziki ilio zoeleka uswahilini ,kitu ambacho kinasimamisha bongo za wanao msikiza .mziki wenye ubunifu na vibe la kimarekani . kwamaelezo yake anasema yeye anaangalia generation yake na anajua Genz wanaelewa anachokiimba na ni usasa zaidi , ameongeza kua amejaribu kuleta mziki wamajuu mashinani ili kutoa ulemavu wafikra funge, anasema watu waupate mziki mnene kwa mitandao ...youtube,audiomack na zingine pendwa. # Hebu tumcheki mwana

wasanii wanaopambana kwale